Chuo Cha Ualimu

Paradigms

Africa's Center for

Educational

Excellence!

 
`

KAULI YA MWENYEKITI WA BODI

“Nawahamasisha wazazi / walezi/watu binafsi wanaotaka kuwapatia vijana wao au kujipatia elimu bora kuchagua Chuo cha Ualimu Paradigms. Kwetu Paradigms elimu bora ni ile inayomuwezesha mwanafunzi kujijengea uwezo wa kiakili wa kuhoji masuala ya msingi kwa kujiamini kuwa anaweza, huku akithubutu kuchukua hatua mahsusi za kujiletea maendeleo.”

Prof. I. K. Bavu

 
 
 
 
Albamu ya Picha za Shule
Angalia picha za shule yetu. Bofya picha inayotiririka hapa chini uweze kupata picha zaidi.
 
 
 

newnewTerminal Examination Results | Form Six NationalExamination Results | More Examination Results!
Mid Term Results June 2010 | Grade iii a –annual results, june 2010 | Diploma annual results June 2010

Karibu Chuo Cha Ualimu PARADIGMS
image

Chuo cha ualimu Paradigms, ni chuo chenye kutoa elimu bora na kuaandaa walimu bora ambao ni mfano wa kuigwa.  Chuo kinatoa elimu na kuandaa walimu ngazi ya Stashahada, Cheti cha Daraja la 3 A na cheti cha Ualimu wa awali. Chuo kinapokea wanachuo wa kutwa na bweni, wavulana kwa wasichana.

Chuo cha Ualimu Paradigms kipo kata ya Kimara, Mtaa wa Mavurunza, katika vilima vya Bonyokwa, Wilayani Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam. Chuo kimejengwa na kinaendelea kupanuliwa katika eneo la Ekari 25, linalomilikiwa, kupangwa na kuendelezwa na Paradigms Institute Ltd.

Tunafundisha masomo ya ualimu kulingana na mtaala wa Taasisi ya Elimu ya Taifa (Tanzania Institute of Education) unaotahiniwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA). 

KAULI MBIU:  ”Education for Inspiration”....Soma zaidi

 
 

Shughuli za Mitaala

Students lab

Tuna zana bora kabisa za ufundishaji ambazo mwanafunzi anahitaji kujifunza na kufurahia masomo. Maabara zetu zimesheheni vifaa vitakuwavyo kufanya ufundishaji wa vitendo kuwa wa kufurahiwa zaidi. Pia tuna maabara ya kompyuta, wote hufurahia.

Shughuli Nje ya Mitaala

Parrot Three

Elimu kwanza ila bila afya bora haitaweza kuwa kwanza. Shuke yetu inazingatia kila nyanja ya maisha, tunahakikisha watoto wako wana wanalelewa vyema. Michezo ni moja ya yale yaboreshayo na kukuza sana akili ya mtoto. Tunazingatia sana hilo.

 
Ubao wa Shulee
Upo Tayari Kulipia?

Malipo yote yapelekwe kwenye benki ya CRDB PLC. Akaunti yetu ni 01J1096286400, Paradigms Teacher’s Training College katika tawi lolote lile.

Hizi pia zinamilikiwa na Paradigms Institute Ltd

Taasisi
Usajili. Na.
Paradigms Nursery School. Reg. No. 
DS.02/7/E.A 091
Paradigms English Medium Primary School.
DS.02/7/7091
Paradigms Secondary School for O’ & A' level
2539