Chuo Cha Ualimu

Paradigms

Africa's Center for

Educational

Excellence!

 
`

KAULI YA MWENYEKITI WA BODI

“Nawahamasisha wazazi / walezi/watu binafsi wanaotaka kuwapatia vijana wao au kujipatia elimu bora kuchagua Chuo cha Ualimu Paradigms. Kwetu Paradigms elimu bora ni ile inayomuwezesha mwanafunzi kujijengea uwezo wa kiakili wa kuhoji masuala ya msingi kwa kujiamini kuwa anaweza, huku akithubutu kuchukua hatua mahsusi za kujiletea maendeleo.”

Prof. I. K. Bavu

 
 
 
 
Albamu ya Picha za Shule
Angalia picha za shule yetu. Bofya picha inayotiririka hapa chini uweze kupata picha zaidi.
 
 
 
Tunafundisha Kozi Zifuatazo

graduation
Ualimu wa chekechea/awali(nursery)

Ngazi ya cheti kwa waliomaliza kidato cha IV na kuendelea

 

Ualimu wa shule za msingi(daraja la III A)

 

Kwa waliomaliza kidato cha nne na kupata daraja la IV Point 28 na kuendelea.

 


Stashahada ya ualimu (diploma in secondary education)

Kwa waliomaliza  kidato cha 6 na kupata angalau Principal I na subsidiary 1.

 

PIA TUNAFUNDISHA BURE

WANACHUO WOTE WATAFUDISHWA KOZI YA UJASIRIAMALI NA KOMPYUTA BURE

image