Chuo Cha Ualimu

Paradigms

Africa's Center for

Educational

Excellence!

 
`

KAULI YA MWENYEKITI WA BODI

“Nawahamasisha wazazi / walezi/watu binafsi wanaotaka kuwapatia vijana wao au kujipatia elimu bora kuchagua Chuo cha Ualimu Paradigms. Kwetu Paradigms elimu bora ni ile inayomuwezesha mwanafunzi kujijengea uwezo wa kiakili wa kuhoji masuala ya msingi kwa kujiamini kuwa anaweza, huku akithubutu kuchukua hatua mahsusi za kujiletea maendeleo.”

Prof. I. K. Bavu

 
 
 
 
Albamu ya Picha za Shule
Angalia picha za shule yetu. Bofya picha inayotiririka hapa chini uweze kupata picha zaidi.
 
 
 

Gharama za chuo

Chuo kina mihula mitatu ya malipo ya ada, ambayo ni JULAI--- SEPTEMBA muhula wa kwanza, OCTOBA -- NOVEMBA muhula wa pili na JANUARI----- MACHI muhula wa tatu. 

Gharama hapa chini hulipwa mara moja

Usaili na usajili                                                     Tsh. 60,000/= hulipwa mara moja tu
Sare za chuo                                                         Tsh. 60,000/= hulipwa mara moja tu

KARO / ADA YA MHULA
Gharama hizi hapa chini hulipwa kila muhula
                                                   
UALIMU WA SHULE ZA AWALI (NURSERY SCHOOL TEACHER) MUDA WA KUSOMA                      MIEZI 15

  • Bweni     T.shs. 450,000/= kila muhula x 3  jumla  sh   1,350,000/=
  • Kutwa     T.shs. 200,000/=  kila muhula x 3  jumla sh      600,000/=

UALIMU WA SHULE ZA MSINGI (DARAJA LA IIIA) MUDA WA KUSOMA MIAKA 2      

  • Bweni     T.shs. 450,000/= kila muhula x 3  jumla sh  1,350,000/=
  • Kutwa     T.shs. 220,000/= kila muhula x 3 jumla sh      660,000/=
  • Mafunzo kwa vitendo T.shs. 50,000/= kwa mwaka

STASHAHADA YA UALIMU MUDA WA KUSOMA MIAKA 2                                                                         

  • Bweni    T.shs. 450,000/= kila muhula x 3  jumla sh  1,350,000/=
  • kutwa   T.shs. 230,000/= kila muhula x 3   jumla sh     690,000/=
  • Mafunzo kwa vitendo T.shs. 50,000/= kwa mwaka

N.B:  Gharama hizi zilipwe mwanzoni mwa muhula husika.

Gharama zikishatolewa hazitarudishwa kwa sababu yeyote ile.  Kanuni za shule na masharti mengine utayakuta shuleni.

 

Jinsi ya kulipia

Gharama hizi zilipwe kwenye Acc. Na. 01J1096286400; Paradigms Teacher’s Training College, kwenye benki yeyote ya CRDB Bank Ltd, na uje na pay in slip chuoni ili upate risiti