Chuo Cha Ualimu

Paradigms

Africa's Center for

Educational

Excellence!

 
`

KAULI YA MWENYEKITI WA BODI

“Nawahamasisha wazazi / walezi/watu binafsi wanaotaka kuwapatia vijana wao au kujipatia elimu bora kuchagua Chuo cha Ualimu Paradigms. Kwetu Paradigms elimu bora ni ile inayomuwezesha mwanafunzi kujijengea uwezo wa kiakili wa kuhoji masuala ya msingi kwa kujiamini kuwa anaweza, huku akithubutu kuchukua hatua mahsusi za kujiletea maendeleo.”

Prof. I. K. Bavu

 
 
 
 
Albamu ya Picha za Shule
Angalia picha za shule yetu. Bofya picha inayotiririka hapa chini uweze kupata picha zaidi.
 
 
 
Wasiliana Nasi

Wasiliana nasi sasa:
Mkuu wa Chuo,
Paradigms T.T.C.
S.L.P. 53848, DAR ES SALAAM.

Simu:  0715 263 999, 0716 542462, 0715 758093

Barua Pepe: info@paradigms.co.tz
director@paradigms.co.tz
maksnr63@gmail.com
Tovuti: www.paradigms.co.tz

Tupo Kimara – Bonyokwa!!!

Dar Es Salaam.

Tanzania

 

 

Tafadhali jisikie huru kuwasiliana nasi kwa fomu hii hapa chini .

Kila kichumba ni lazima kujazwa
Jina Lako*
Barua Pepe*
Ujumbe *