Chuo Cha Ualimu
Paradigms
Africa's Center for
Educational
Excellence!
KAULI YA MWENYEKITI WA BODI
“Nawahamasisha wazazi / walezi/watu binafsi wanaotaka kuwapatia vijana wao au kujipatia elimu bora kuchagua Chuo cha Ualimu Paradigms. Kwetu Paradigms elimu bora ni ile inayomuwezesha mwanafunzi kujijengea uwezo wa kiakili wa kuhoji masuala ya msingi kwa kujiamini kuwa anaweza, huku akithubutu kuchukua hatua mahsusi za kujiletea maendeleo.”
Prof. I. K. Bavu
Wasiliana nasi sasa:
Mkuu wa Chuo,
Paradigms T.T.C.
S.L.P. 53848, DAR ES SALAAM.
Simu: 0715 263 999, 0716 542462, 0715 758093
Barua Pepe: info@paradigms.co.tz
director@paradigms.co.tz
maksnr63@gmail.com
Tovuti: www.paradigms.co.tz
Tupo Kimara – Bonyokwa!!!
Dar Es Salaam.
Tanzania
Tafadhali jisikie huru kuwasiliana nasi kwa fomu hii hapa chini .
Kila kichumba ni lazima kujazwa