Paradigms Schools

Africa's Center for

Educational

Excellence!

 
`

 

BOARD CHAIRMAN’S STATEMENT

“I recommend/urge parents, guardians and individual persons looking for quality education for their children or self, to choose Paradigms Teacher’s Training College. To us, quality education is the education that produces inquiring mind that guides self development.”

Prof. I. K. Bavu

 
 
 
 
School Photo Gallery
Take a look at our School Photo Gallery. Click on one of the sliding pictures below.
 
 
 

Nursery School

Paradigms Nursery and Primary School

Mchanganuo wa ada, maelekezo, kanuni na sheria za shule kwa mwaka 2010.

Malipo ya awali:  Hulipwa mara moja tu wakati wa usajili
Maombi ya usajili                   5,000/=
Usajili                                  15,000/=
Fedha za tahadhari                20,000/=
Sare za shule                        30,000/=
Fedha za matibabu                30,000/=
Jumla                             100,000/=

 

Ada ya shule (karo):  Hulipwa kwa awamu tatu
Jumla ya karo yote:
(i)      Bweni   1,140,000/= kwa miezi mitatu
(ii)      Kutwa     690,000/= kwa miezi mitatu

Mchanganuo wa vipindi vya malipo:

Payment instalments:

 

JANUARI

MEI

SEPTEMBA

JUMLA

Bweni

380,000/=

380,000/=

380,000/=

1,140,000/=

Kutwa

230,000/=

230,000/=

230,000/=

690,000/=

USAFIRI:  Hulipwa mara moja kila miezi mitatu

Kanda A:  30,000/= x 3 = 90,000/=
Kanda B:  45,000/= x 3 = 135,000/=

Mchanganuo wa vipindi vya malipo


ZONE

JANUARI

MEI

SEPTEMBA

JUMLA / MWAKA

Kanda A

90,000/=

90,000/=

90,000/=

270,000/=

Kanda B

135,000/=

135,000/=

135,000/=

405,000/=

 

SHULE ILIKO:
Shule iko Bonyokwa, kata ya kimara, Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam; km 3.5 kusini mwa barabara ya Morogoro.

 

 

Namna ya kufika:
(i)      Kimara mwisho: 
Fika Kimara mwisho, utaona kibao chetu, fuata barabara hiyo.  Endapo unatumia usafiri wa umma, panda magari yaendayo Bonyokwa, ukifika kituo cha mwisho, utaona kibao chetu, shule iko karibu.

 

(ii)     Suca
Fika Kimara Suca.  Fuata barabara iendayo Golani, ufikapo utaona kibao chetu. 
Endapo unatumia usafiri wa uma, panda gari suca, shuka kijiweni, fuata kibao chetu, utafika shuleni ni karibu sana.

MAELEKEZO MUHIMU WAKATI WA KUJIUNGA:

1.       Uwe umelipa karo yote ya awamu husika.

2.       Karo na fedha za usajili ziwe zimelipwa kwenye Benki ya CRDB; kwa jina:  Paradigms Primary School; Na. ya Akaunti 01J0196071400 kwenye tawi lolote nchini; na uje na stakabadhi halisi ya malipo benki “Bank Pay in Slip” na siyo nakala.  Hatupokei fedha taslimu wala hundi.

3.       Uwe umesoma na kuelewa kanuni na sheria za shule na kusaini kukubaliana nazo (Hati No. 5)

4.       Uwe umejaza kwa usahihi hati No.1 ya uthibitisho wa usajili wa mwanafunzi.

5.       Uwasilishe hati ya uthibitisho wa afya ya mwanao (hati No. 3), ukiambatanisha vyeti muhimu endapo mwanao ana mahitaji maalum, au ugonjwa unaompata mara kwa mara.

6.       Ulete vitu / vifaa vyote vilivyoelekezwa katika hati ya mahitaji binafsi ya mwanafunzi (Hati No. 4).

7.       Hakikisha umepata stakabadhi halisi na halali ya kila malipo na umefananishwa kiwango cha ada iliyobaki baada ya malipo uliyofanya na wakati wa kulipa.

8.       Hakikisha umemkabidhi mwanao kwa mwalimu husika au mtu mwingine mwenye dhamana hiyo kabla hujaondoka shuleni.